Intro
verse
Tumezaa na wewe watoto wanane
Unasema umechoka na mimi masikini
Niende wapi? Na nifanye nini?
Watoto wanalia huko nyumbani
Lakini hizo mambo ni za duniani
Ume weka raha mbele, wewe uni oni, Njoki
chorus
Mpaka wanalia huko nyumbani, Njoki
Ndiyo kama ya chupa, Njoki wewe
verse
Usitupe eti mimi sina mali
Tafadhali hao wa mapenzi, wako na pesa
Hiyo ni kweli, Chameleone ndiyo mpenzi
Usitupe eti mimi sina mali
Tafadhali hao wa ma Bima wako na pesa
chorus
Mpaka wanalia huko nyumbani, Njoki
Ndiyo kama ya chupa, Njoki
verse
Sasa watoto wanalia, angalia
Chameleone mi nalia, mama Mia
Shida ni mengi kwa duniani
Mingi hata wanaume wanalia kweli kweli
Kumnunulia, Hakuna Mafuta
Kumbe siku moja atabadilika
Mbona una badilika ume ni tupa
chorus
Mpaka wanalia huko nyumbani, Njoki
Ndiyo kama ya chupa, Njoki
chorus
Mpaka wanalia huko nyumbani, Njoki
Ndiyo kama ya chupa, Njoki wewe
Jabulani Radio Livestream
Next Track
Track History